Tuesday, October 25, 2011

DK SHEIN AAPISHWA KUWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI


Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande (kushoto), akimwapisha Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam juzi.
Rais Jakaya Kikwete (mbele katikati), Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na Jaji Mkuu, Othman Chande pamoja na mawaziri baada ya kuapishwa kwa Shein Ikulu Dar es Salaam .

JK akimpongeza Dk. Shein
JK (wa pili kulia) akiwa na Dk. Shein (kulia kwake), Waziri Mkuu (kulia) na Jaji Mkuu wa Tanzania, Othaman Chande.
Jaji Mkuu, Othman Chande akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema wakati wa hafla hiyo.
JK akizungumza na Jaji Mkuu, Othman Chande (kushoto), Dk Shein (wa pili kulia) pamoja na Waziri Mkuu, Pinda. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO)

No comments:

Post a Comment