Tuesday, October 25, 2011

WAMBURA AENGULIWA NA TFF KUGOMBEA UENYEKITI MKOA WA MARA

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka T anzania (FAT), sasa TFF, Michael Wambura akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kabla ya Kikao cha Kamati ya Uchaguzi ya TFF, kumwengua usiku huu kugombea uenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Mara, kwa madai kwamba si mkazi wa mkoa huo.

No comments:

Post a Comment