Tuesday, October 25, 2011

MBEYA WAMUAGA MKURUGENZI WA VODACOM DIETLOF MARE


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro kushoto Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania anaemaliza muda wake hapa nchini,Dietlof Mare(katikati) Mkurugenzi wa Vodacom kanda ya nyanda za juu kusini Jackson Kiswaga,wakiwa wameshikilia picha inayomuonyesha Mare akisimikwa na wazee wa kimila wa kabila la Wahehe mara baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa,wakati alipotembelea mkoa huo kuwaaga rasmi hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment