Friday, October 7, 2011

JENERETA, OFISI ZA STAR TIMES ZAUNGUA MOTO


Jenereta la Kituo cha Star Times kinachorusha matangazo ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), likiwa limeteketea kwa moto jana, baada ya Transfoma kulipuka na kuunguza pia ofisi za kituo hicho kilichopo Mikocheni, Dar es Salaam.
Baadhi ya Maofisa wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Jeshi la Wananchi (JWTZ) na Kampuni ya Star Times, wakiangalia athari zilizopatikana kwenye ofisi za kampuni hiyo, baada ya moto kuunguza transforma na jenereta ya umeme wa dharura na moja ya ofisi za kituo hicho, Kijitonyama, Dar es Salaam
Transfoma, jenereta na sehemu ya ofisi za kituo cha Star Time, zilinavyoonekana, mara baada ya moto kuzimwa na kampuni za Zimamoto, Kijitonyama Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment