Tuesday, October 25, 2011

KOCHA PAPIC NA YANGA TENA

Kocha wa Yanga Kostadic Popic, akiomba dua na wachezaji wa timu hiyo, baada kuanza tena kuifundisha leo jioni kwenye Uwanja wa Kaunda, Jangwani, Dar es Salaam.
Papic akiwajibika uwanjani huku Kocha Msaidizi,Fred Minziro akiondoka
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi chini ya Kocha Papic jana jioni

No comments:

Post a Comment