Thursday, November 24, 2011

ASANTE KUWASILI NCHINI SIKU YA UHURU - KUCHEZA NA KOMBAINI YA SIMBA NA YANGA DES.11

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni Future Centery Helene Masanja,akizungumza na wahandishi wa habari kuhusu mechi ya kombaini ya timu za Simba na Yanga dhidi ya timu ya Kumasi Asante Kotoko ya Ghana,katikati ni Mwenyekiti wa Yanga Loyd Nchunga na Mwenyekiti wa DRFA Amin Bakharesa.

No comments:

Post a Comment