Monday, November 28, 2011

ST8 MUZIK NDANI YA LEADERS 2011


Mwanamuziki wa hip hop toka nchini Marekani Fabolous akikamua kwenye tamasha hilo lililo hapen katika viwanja vya Leaders jijini Dar na kuhudhuriwa na bonge la nyomi
Msanii wa Hip hop toka bongo land Jay Mo akikamua sanjari na mwana hip hop mwenzie Mchizi Mox

Simba mzee, Mfalme asiyevuliwa taji Selemani Msindi aka Afande Sele alikosha kisasawa mashabiki walo hudhuria tamasha hilo.
Masoja Long time kitambo wanaitwa Gangwe Mobb.

No comments:

Post a Comment