Tuesday, November 29, 2011

MAHAFALI YA 17 YA CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI WA NYARAKA(SLADS )KWENYE PICHA

 Mgeni rasmi wa mafahali bw .Philipo Mulugo naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi(wapili waliyoketi kutoka kushoto mwenye joho jekundu) akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa chuo hicho mara baada ya kukamilisha shughuli ya kutunuku vyeti wahitimu wa ngazi ya stashahada na cheti kwa kozi ya ukutubi na uhifadhi wa nyaraka kwenye mahafali ya 17 iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo hicho mijini bagamoyo jumamosi iliyopita ya tarehe 26.11.2011.Kushoto kwa mgeni rasmi ni mwenyekiti wa bodi wa chuo hicho Dkt.Ally Mcharazo,kulia mwa mgeni rasmi ni Mkuu wa chuo bw.Hermenegild Maganja na kulia kabisa ni bi.Happiness Steven Mkuu wa taaluma wa chuo hicho.Waliyosimama nyuma ni wafanyakazi wa chuo hicho(SLADS).
 Mkuu wa taaluma bi. Hppiness Steven akitangaza jambo wakati wa mahafali hiyo.
 Wahitimu wa ngazi ya cheti wakisubiri kauli ya mgeni ya kuwatunuku vyeti.
 Wahitimu wa ngazi ya cheti wakivaa kofia kuashiria kutunukiwa vyeti.
 Wahitimu wa ngazi ya stashahada mara baada ya kutunukiwa vyeti.
 Mdau Felister mara baada ya kutunukiwa stashahada.
 Mdau Manka mara baada ya kutunukiwa stashahada.
 Mdau Sophia mara baada ya kutunikiwa stashahada.
 Mdau Rahma kulia mara baada ya kutunikiwa cheti.Kwa sasa Rahma ni mwanachuo wa SLADS kwa ngazi ya stashahada.
 Mkurugenzi wa kampuni ya kimkev entertainment bw.Kim Kimenya kushoto akiwa miongoni mwa wageni waliyohudhurria mahafali hiyo.
Mdau James Telekako mara baada ya kutunukiwa cheti.Kwa sasa James ni mwanachuo wa SLADS kwa ngazi ya stashahada.
 Mc Mitti mwanachuo wa zamani wa chuo hicho akiwa miongoni mwa wahudhuriaji wa mafahafali hiyo.Kwa sasa Mitti yupo chuo cha usimamizi wa fedha I.F.M kama mtumishi.
Kamati ya maandalizi ya mafahafali ikiwa kazini.mdau Kingu waziri wa ulinzi wa SLADSO akiwa katikati.

2 comments: