Thursday, November 24, 2011

Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone Awarusha Wakaazi wa DMV

Cheza nikucheze juu na chini warembo wa Kiganda ndani ya Nyumba...


Mwana muziki wa kizazi kimpya ndani ya Washington DC, AJ Ubao wa kwanza (kushoto) pamoja mzee wa kuwachanganya Dmk global Dickson Mkama. wa kwanza( kulia) wakiwanyumba ya jukwa na mwana muzingi aliekuwa anasubiriwa kwa hamu siku ya jana Jumatano Nov23, 2011 katika sherehe za Thanksgiving Muimba Jose Chameleone katikatia, akisubiriwa kwa hamu na wapenzi wake

Nyuma ya jukwa mwana dada Luren akipata flash ya pikee kabla ya unyesho kuanzaa

Muimbaji Ana Lov akipata flash ya pamoja na rafiki yake kwenye onesho hilo la Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone.

No comments:

Post a Comment