Wednesday, November 30, 2011

Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda,  jana amezindua kiwanda cha Bia cha Serengeti tawi la Moshi mkaoni Kilimanjaro. Kinwanda hicho cha kisasa na kikubwa kipo eneo la Pasua Boma Mbuzi katika barabara ya Sukari.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mmoja wa Wanahisa wa SBL, Christopher Gachuma mara baada ya kuwasili kiwandano hapo.
Pinda akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa SBL, Teddy Mapunda.
Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha SBL mjini Moshi.
Pinda akifunia kitambaa katika moja ya shughuli za uzinduzi wa mjini mosha. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa Badi ya SBL, Jaji Mark Bomani na kati kati yao ni Mkuu wa Moa wa Iringa, Leonidas Gama.
Waziri Mkuu akipata maelezo juu ya uzalishaji wa Kiwanda hicho
Pinda akitembezwa katika maeneo mbalimbali ya Kiwanda.
Sehemu ya ujazaji kinywaji cha Serengeti katika kiwanda hicho.
Akiendelea kupata maelezo ya uzalishaji.
 
chanzo father kidevu

No comments:

Post a Comment