Thursday, November 24, 2011

Joseph Kaniki "Golota" apata timu Sweden


Wachezaji wawili wa kitanzania, Joseph Kaniki "Golota" na William John wamefanikiwa kujiunga na timu ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF) nchini Sweden, baada ya kufanikiwa kupita katika majaribio (Trials). Majaribio hayo yalijumuisha wachezaji zaidi ya thelathini ambapo wachezaji watano walichaguliwa kujiunga na klabu hiyo ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF).
 
Chanzo father kidevu

No comments:

Post a Comment