Monday, November 7, 2011

RAIS KIKWETE AMJULIA HALI VENGU WA ZE KOMEDI



Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali mwigizaji wa Kundi la Ze Original Comedy, Joseph Shamba a.k.a “Vengu”, ambaye amelazwa kwa wiki kadhaa sasa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Vengu mwenye umri wa miaka 28 amejizolea umaarufu kwa kuwaigiza wanasiasa hasa Mrema na ni moja wa waasisi wa kundi la ZeOriginal Comedy.
Rais Kikweteakimfariji mama wa Vengu Hospitalini hapo.

No comments:

Post a Comment