Wednesday, November 30, 2011

PROF. WANGWE AZINDUA RIPOTI YA TECHNOLOGY AND INNOVATION 2011


Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Prof. Samuel Mwita Wangwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Teknolojia Mbadala ya Mwaka 2011 ambapo amehoji tunawezaje kupunguza umaskini katika kipindi hichi tunachokabiliwa na mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la Joto Duniani.
Zaidi ya Asilimia 20 ya idadi ya watu Duniani ambao ni sawa na watu Bilioni 1.4 ambao hawana uwezo wa kupata Nishati hiyo wengi wao wakiwa wanaishi Kusini mwa Bara la Asia na Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Prof. Samuel Mwita Wangwe akizindua TECHNOLOGY AND INNOVATION REPORT2011 ambayo inazungumzia POWERING DEVELOPMENT WITH RENEWABLE ENERGY TECHNOLOGIES.
Na kutoa msisitizo kwa Serikali kuzifanyia kazi ripoti zinazotolewa na wataalamu kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla.
The UNCTAD report is available on www.unctad.org

No comments:

Post a Comment