Tuesday, August 5, 2014

KAMPUNI YA VINYWAJI BARIDI YA SBC YAZINDUA MIRINDA MPYA AINA YA GREEN APPLE


Kinywaji cha mirinda Green Apple kikiwa katika chupa.
Maofisa wa Kampuni hiyo Godlisten Mende (kulia), na Omari Madaya wakionesha kinywaji hicho kwa waandishi wa habari.
Meneja Mauzo wa SBC, Godlisten Mende (kulia), akionesha kinywaji hicho kwa waandishi wa habari. Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
Meneja Mauzo wa Kanda, Omar Madaya (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kuzindua kinywaji hicho iliyofanyika Dar es Salaam jana.
Meneja Mauzo wa SBC, Godlisten Mende (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakionja kinywaji hicho.
Mwanahabari huyu kama anasema “jamani mirinda hii ni tamu”.
Wanahabri wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi wa kinywaji hicho kipya.
Wanahabari wakichangamkia kinywaji hicho.
Wanahabari wakichukua taarifa kutoka kwa maofisa wa SBC.
Mmoja wa maofisa wa SBC (kushoto), akiwaelekeza jambo wenzake.

No comments:

Post a Comment