Friday, August 8, 2014

SKYLIGHT BAND NDIYO HABARI YA MJINI LEO



Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na Digna Mbepera(wa pili toka kushoto) wakilianzisha Burudani kwa nguvu zoteee ndani ya Thai Village masaki.Kila ijumaa Bendi yako mahiri na isiyoshikika Skylight Banda wanakuwa Thai Village wakikupa burudani ya nguvuuuu na suprizeee kibaooooo,Usikose Ijumaa Hii.
Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na Digna Mpera(wa pili toka kushoto) wakiimba kwa umakini kabisa ili kuwapa ile kitu roho inapenda mashabiki wao
Digna Mbepera akipiga Vocal Kaliii kabisa na kwa madaha ili kuwapa burudani mashabiki na wapenzi wa Skylight Band ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Anaitwa Mkali wa Sauti ya mtetemo Mary Lucos akiimba Vizuri kabisa ili kuwapa burudani mashabiki wake ndani ya Thai Village
Tamu ya warembo Sam Mapenzi akizitiririsha Sauti kaliiii na zenye utamu kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band.
Le Meneja Her Self Aneth Kushaba akiwa na furahaa sana kuona mashabiki wao wanapata kile wanachokiitaji kutoka kwao na si kingine ni burudani iliyokwenda shule.
Babaa ya Kongo Sony Masamba Akizipiga zile za kikongo kwa umakini kabisaaaaa ndani ya Thai Village ili kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
Uniongozeeeee bila neema zako siwezi kwendaaaaaa,kwa mkono wako kweliiiiiiii umenibarikiiiiii Le Meneja Her Self Aneth Kushaba akiimba kwa Hisiaaaa kali…Nyimbo za kusifu zinahusika pia.
Baraka zakooo ziweee na Mimiiiiii kwa mkono wakooo kweliii umenibarikiiiiiiiii Le Meneja Her Self Aneth Kushaba(katikati)akiimba kwa upoleeee kabisaaa kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Hashimu Donode Akizipigaaa Sauti kali na zenye mpangilio ndani ya Thai Village
Aneth Kushaba(wa kwanza kushoto)akiwa na Digna Mbepera (wa pili toka kushoto) wakiimba kwa kupokezana kwa rahaaaa zaooo,yote ikiwa ni kuwapa burudani mashabiki wao.

No comments:

Post a Comment