Monday, September 1, 2014

VIDEO YA MKUBWA NA WANAWE YAZINDULIWA MAISHA CLUB CHINI YA VODACOM TANZANIA


Waimbaji wanaounda kundi la “Yamoto Band”Aslay, Becka, Bella na Maromboso wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa video yao ya mkubwa na wanawe,uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club jana usiku udhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mwimbaji mahiri wa kundi la”Yamoto band” Aslay akikonga nyoyo za wapenzi wake waliofurika katika ukumbi wa New Maisha Club oysterbay jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa video yao ya mkubwa na wanawe ,uliofanyika jana usiku na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment