Friday, September 16, 2011

AIRTEL RISING STAR KUANZA KESHO

AIRTEL RISING STARS KURINDIMA JUMAMOSI

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel, Jackson Mbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam juzi, kuhusu maandalizi ya michuano ya Aitel Rising Stars, inayotarajia kuanza Jumamosi kwenye Uwanja wa Karume jijini.Kutoka kulia ni Ofisa Tawala wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Idd Mshangama na OIfisa Habari wa TFF, Boniface Wambura. (NA MPIGAPICHA WETU)

No comments:

Post a Comment