Wednesday, September 7, 2011

NMB yazindua Business Club mkoani Shinyanga


Baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (hayupo pichani) aliyekuwa akiongea wakati wa uzinduzi rasmi wa Klabu ya Wafanbyabiashara wa Benki ya NMB mkoani humo jana. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake.
Meneja wa NMB Mikopo Midogo, Mashaga Changarawe akitoa mada yake juu ya utoaji wa Mikopo.
Meneja wa NMB tawi la Manonga, James Subi, (wapili kulia) akimshukuru Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana.  Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji (kushoto) ni Meneja wa NMB Mikopo Midogo, Mashaga Changarawe.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (kushoto) akizungumza jambo baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana, pamoja nae ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji.  Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake

No comments:

Post a Comment