Friday, September 2, 2011

Usichezee Magufuli kwa kujenga katikia hifadhi ya barabara


Kituo cha Mafuta cha MT Camel kilichokuwa kinajengwa sangasanga Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro katika kona ya kuingilia barabara ya Mzumbe-Mlali kilikubwa na dhoruba ya kubomolewa baada ya kujengwa katika hifadhi ya barabara. Jana Waziri wa Ujenzi alisema zoezi la kubomoa nyumba na vituo kama hivi vilivyojengwa barabarani litaanza kwa kasi na kushirikisha askari.

No comments:

Post a Comment