Friday, September 9, 2011

GENEVIEVE MPANGALA KUKABIDHI TAJI LA MISS TANZANIA KESHO

Genevieve akiwa kwenye pozi, ambapo anatarajia kulikakabidhi taji la urembo wa Tanzania kesho kwenye ukumbi wa mlimani city kwa mrembo mpya wa mwaka 2011.Blog hii inakupongeza kwa kukaa na taji vizuri na inakutakia kila la heri kwenye maisha yako baada ya kuwa na taji kwa kipindi cha mwaka mmoja.

No comments:

Post a Comment