Saturday, September 24, 2011

JK afungua mkutano wa DICOTA 2011 jijini Washington DC


Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Watanzani nchini Marekani wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Diaspora Council of Tanzania in America (DICOTA) 2011 huko Dulles, Virginia, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Wafadhili toka taasisi mbalimbali za umma na binafsi waliofanikisha DICOTA 2011 wakipozi na Rais Kikwete na Meza kuu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernard Membe akiongea kabla ya kumkaribisha Rais Kikwete kuhutubi hadhira na kufungua rasmi mkutano wa DICOTA 2011
Wageni waalikwa wakifurahia hotuba ya Rais Dkt. Jakaya Kikwete wakati akifungua mkutano huo.
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na wageni mbalimbali katika mkutano huo.
Washiriki mbalimbali wa mkutano huo wakimsikiliza Rais Kikwete.
Rais Kikwete akiimbwa wimbo wa Taifa pamoja na meza kuu
Rais Kikwete akiwapongeza watoto kwa kuimba vyema
Sehemu ya waliohudhuria katika mkutano huo
Rais Kikwete akiwa katika banda la Mfuko wa Maendeleo wa Hassan Maajar Trust Fund
Hapa akiwa katika banda la benki ya CRDB
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa washiriki baada ya kutembelea banda la Nyumba Poa katikati ni Peter Mariki Mkurugenzi wa Kampuni ya Nyumba Poa
Ujumbe mzito toka NSSF ukiwa mkutanoni

No comments:

Post a Comment