Tuesday, September 6, 2011

Alexia William ndie Miss Personality 2011



Mrembo Alexia Williams akibebwa na wenzake wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 baada ya kutajwa kuwa ndie mshindi wa Miss Personality na kupata tiketi ya kuingia nusu fainali ya Vodacom Miss Tanzania itakayofanyika September 10 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Tayari warembo wengine wa nne wameshafanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali.
Warembo wanne kati ya 30 wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 waliopata kura nyingi za shindano la Miss Personality wakipozi kwa picha baada ya kutangazwa. Kutoka kulia ni Dalilla Ghalib, Maua Kimambo, Alexia William na Cynthia Kimasha. fainali za Vodacom Miss Tanzania 2011 zitafanyika Septemba 11, mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaa
Mrembo Alexia Williams akipozi mbele ya washiriki wenzake wa Vodacom Miss Tanzania 2011 baada ya kutajwa kuwa ndie mshindi wa Miss Personality na kupata tiketi ya kuingia nusu fainali ya Vodacom Miss Tanzania itakayofanyika September 10 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Tayari warembo wengine wanne wameshafanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali.

No comments:

Post a Comment