Wednesday, September 14, 2011

DK BILAL AZINDUA JENGO LA MIHADHARA DUCE


Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal akikata utepe kuzindua jengo jipya la kisasa la mihadhara la Chuo Kikuu kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) lenye uwezo wa kuchukua wanachuo 2,000 jana jijini Dar es salaam.Kulia kushoto ni makamu mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es salaam utawala Prof. Yunus Mgaya na Prof. Salome Misana (kushoto).

No comments:

Post a Comment