Tuesday, September 13, 2011

MNUSO WA NICOLAUS NA CECILIA NDANI YA LUGALO BARACKS TAREHE 03 SEPTEMBA 2011

 Bw na bibi Nicolaus Mkini mara baada ya ndoa takatifu iliyofanyika kwenye kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam.
 Mrs Cecila Mkini akiwa kwenye pozi.
 Nibebe nibembembeleze.
 Maharusi wakiwa na wapambe wao.
 Maids wakiwa wanaingia ndani ya ukumbi
 Mzee Mgaya akitambulisha familia ya bwana harusi
 Kijana wa siku nyingi Msitingongo akitoa nasaha kwa maharusi.
 Mc Kim Kimenya akifungua champaigne kwa ajili ya wageni waalikwa.
 Mama Mkini akiwa kwenye pozi.
 Mc Stan Mkini  akiwajibika.
 Dr. Mkini akiwa pamoja na mama Mkini wakitoa neno la baba na mama.
 Hawa ndiyo madada waliotawala mchezo kwa siku hiyo wakiwa kwenye pozi chini kuanzia kushoto Ninah,Diana,Grace,Suda.Juu kuanzia kushoto Anna,Asta,na rafiki wa karibu wa Asta.
 Katibu wa kamati ya maandalizi bw. Joel Mkini aliyeinamisha kichwa akiwa na somethingi yake kwa karibu kwenye picha ya pamoja na wanakamati.
 Shindano la kucheza twisti lililompa ushindi Msitingongo kijana wa siku nyingi likiendelea.
Kamati ya maandalizi sambamba na dada Mtage, aliyevaa gauni la buluu,Diana kushoto kwake na Anna Kivembele mwenye gauni jeusi wakielekea kwa maharusi kwa mkono wa pongezi .

No comments:

Post a Comment