Wednesday, September 7, 2011

Warembo wajinyakulia dola kutoka Papazi baada ya kuigiza


Mrembo Zubeda Seif aliyejinyakulia kitita cha Dola 1000 akimnanga muingizaji nguli Jacquline Wolpa wakati wa kutafuta mrembo wa Vodacom Miss Tanzania aliye na kipaji cha uigizaji.
Washindi wakionesha vitita vya kutoka kushoto ni  Christine Mwegoha aliyepata dola 200, Zubeda Seif dola 1000 na Husna Maulid, warembo hawa wa Vodacom Miss Tanzania pia watafabya kazi nba Kampuni ya Papazi Entertainment & Promotion katika uchezaji Filamu.
Maofisa wa Papazi wakiongozwa na Mkurugenzi wa Papazi, Hans Zakaria (kulia) wakipiga picha ya pamoja baada ya washindi hao kukabidhiwa vitita vyao.
Husna Maulid akionesha makali yake katika kucheza filamu na hapa akiigiza kuwa na machungu.
Mshiriki wa Vodacom Miss Tanzania Glori Lory, akicheza kipande chake na Yusuf Mlela.
Vodacom Miss Tanzania Top Model, Mwajabu Juma (kushoto) akijibizana na Princess Mashonobo.
Majaji wa shindano hilo la kutafuta waigizaji.

No comments:

Post a Comment