Wednesday, September 7, 2011

Magavana wakutana Arusha


Katibu Mtendaji wa Bodi ya Magavana wa Afrika (ACBF) Dkt .Frannie Leautier(katikati) akiongea na waandishi wa habari leo mjini Arusha kuhusu kuanza kwa Mkutano wa 20 wa Bodi ya Magavana wa Afrika(ACBF) unaotarajiwa kufunguliwa na Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete siku ya Alhamis (8.9.2011). Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano(ACBF) Audrey Mpunzwana na kushoto ni Mtaalamu kutoka ACBF George Kararach.

No comments:

Post a Comment